Ikiwa ni mda mchache tu baada ya kupost picha zake zenye kuonyesha wazi
sehem za tumbo na kifua kupitia Instagram, picha ya wema imeonekana
kusambaa kwa haraka zaidi kupitia mtandao wa jamii "facebook" huku kila
mmoja akitoa maoni yake kutoka na mtazamo wake.
No comments:
Post a Comment