Binti yatima wa miaka 14 Aanza kusoma Chuo Kikuu na Miaka 14 Baada ya kujisomea nyumbani
Binti yatima wa miaka 14 Aanza kusoma Chuo Kikuu na Miaka 14 Baada ya kujisomea nyumbani
Mtoto huyu ni kichwa. Kasoma Darasa La Tatu akarushwa hadi
Darasa la Sita, Kisha akafaulu vizuri sana kuingia Kidato cha Kwanza,
Kaka zake ni Manamba wakashindwa kumlipia ada za shule. Kutokana na
bidii zake binafsi / akili za kuzaliwa, na msaada wa ada za mitihani na
vitabu kutoka kwa kaka zake aliweza kusoma form1-4 kwa miaka miwili tu.
Alifaulu saaana na kushindwa kulipa ada za kidato cha 5-6 akaamua
kujisomea nyumbani na kupata matokeo mazuri saaana na sasa kapata
scholarshipu kutoka TRA ya Zimbabwe kusoma chuo kikuu. This is amazing
story...Our God is of great wonders!!
No comments:
Post a Comment